RonaldoLionelMessi

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Thursday, 27 June 2013

Hali Ya Nelson Mandela Yaleta Utata Mtupu

Posted on 04:11 by Unknown
Inaonekana watu wameanza kuonea huruma mpiganaji wao Nelson Mandela maarufu kama Madiba baada ya kuendelea kuugua mapafu kwa muda mrefu. Baadhi ya wananchi katika mitaa mbalimbali ya Afrika ya Kusini wameanza kusikika wakitamka maneno ya kuonesha kwamba wanamuaga Raisi Huyo wa kwanza mweusi na mpiganaji dhidi ya ubaguzi wa rangi nchini humo.


"Mandela ni mzee sana na kwa umri wake, maisha siyo mazuri. Namuomba Mungu amchukue sasa. Ni bora aende. Ni bora akapumzike" Alisikika Ida Mashego, mfanya usafi wa ofisini mwenye umri wa miaka kama 60 hivi huko Johannesburg.  

Mtu huyu ambaye ni Artist akichora picha ya 
mzee Mandela nje tu ya hospitali 
mjini Pretoria alimolazwa Raisi huyo wa 
Kwanza mweusi wa Afrika ya Kusini  


"Sitadanganya, hali siyo nzuri. Lakini kama nisemavyo, tukiongea naye, anajibu na kujaribu kufungua macho. Bado yupo. Anaweza akawa anaaga lakini bado yupo." Alisema binti yake mkubwa  mzee Mandela, Makaziwe, baada ya kumtembelea hospitalini hapo, akiongea na SABC Radio. 

Chanzo/source: TVnZ
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • If You Missed Some Games of The AFCON From S.Africa. Here Are Actions in Pictures For You.
  • Thomas Ulimwengu, Mbwana Samata na Wenzao Waliowasambaratisha Morocco
    Unaweza kuielezeaje mechi hii ya Stars v Morocco?
  • Liverpool Waliompa Kipigo Norwich Hawa Hapa
      Huku Suarez akipiga hat-trick
  • Simba,Yanga nani kuchimba dawa kesho? | darhotwire
    Simba,Yanga nani kuchimba dawa kesho? | darhotwire
  • Hatimaye Lulu Aliona Jua.
    Yule msanii maarufu sana hapa nchini kwenye tasnia ya filamu za bongo maarufu kama "Bongo Movie" Elizabeth maarufu kama "Lulu...
  • Pictures: Mario Balotelli's car gets pissed on and greased with bum sweat by Man United fans | 101GG Football news
    Pictures: Mario Balotelli's car gets pissed on and greased with bum sweat by Man United fans | 101GG Football news
  • Wayne Rooney Aanza Mzoezi Man United!
    Meneja mpya wa Man United Daivd Moyes amesisitiza kwamba ana mahusiano mazuri sana na mchezaji wake Wayne Rooney na kuthibitisha kwamba msha...
  • John Terry – Guilty and Not Guilty…What’s the difference?
    John Terry – Guilty and Not Guilty…What’s the difference?
  • These are the 5 Problems That Manchester United Should Fix in Defence
    As Written by HITC SPORT   The System Ultimately the formation that Sir Alex Ferguson chose to play in the match against Cluj worked becaus...
  • Kibaki stands with outraged Kenyans, rejects Sh2.1b MPs bonus. via Capital FM-Kenya
    As it was reported yesterday by Capital FM-Kenya   NAIROBI, Kenya, Oct 9 – President Mwai Kibaki has declined to assent to the amended Fina...

Blog Archive

  • ▼  2013 (172)
    • ►  August (33)
    • ►  July (29)
    • ▼  June (40)
      • PICHA HIZI ZINADHIHIRISHA KUWA WANA AFRIKA YA KUSI...
      • Hali Ya Nelson Mandela Yaleta Utata Mtupu
      • Haya Ndiyo Aliyoyasema Shinji Kagawa!
      • CHADEMA Wafunguka Tena. Safari hii ni Kuhusu Ugaid...
      • Nelson Mandela in Critical Condition. As Written b...
      • Yalojiri Kwenye Mechi Kali ya Japan Dhidi ya Italy
      • Freeman Mbowe na Mwenzake Godbless Lema bado Wanas...
      • CHADEMA Walonga na Kusema: "Tutawapa Polisi Mkanda...
      • East African Affairs ministers meet in Arusha
      • Via IPPMEDIA: Wassira challenges Mbowe to name Sat...
      • Kama Ulikosa Matukio ya Mabomu Arusha, Tazama Pich...
      • CHADEMA Wafunguka. Unajua Wanasemaje? Fungua Usome...
      • United's David Moyes handed £60m transfer kitty by...
      • MANDELA'S WIFE THANKS WORLD FOR 'LOVE, GENEROSITY'
      • JAY-Z ANNOUNCES NEW ALBUM WITH SAMSUNG DEAL
      • Alimanusura Stars Wamuue Tembo!!! Ivory Coast Wat...
      • Charles James Kahela, Aliyenusurika Kuuawa kwa Bom...
      • Huyu Hapa ni Wilfried Zaha wa MUFC
      • RVP KEPTENI WA UHOLANZI
      • Unamfahamu Manuel Pellegrini, Bosi Mpya wa MCFC? H...
      • Real Madrid's Offer to Ronaldo
      • Kama Unataka Kujua Alichosema Cristiano Ronaldo Ju...
      • Cesc Fabregas Kadai Maisha ya La Liga ni Matamu, H...
      • Najua Unamfahamu Busta Rhymes wa Mamtoni. Sasa Som...
      • Busta Rhymes - #Twerkit (Remix) Ft. Nicki Minaj | ...
      • Umeiona Kmart Clothing Collection Ya Nicki Minaj? ...
      • Mourinho Alipoulizwa Kama Anamuhitaji Wayne Rooney...
      • Ushahidi wa Lionel Messi Kukwepa Kulipa Kodi Huu H...
      • Huu Hapa ni Ushahidi Kwamba Lewandowski Katia Dole...
      • Manchester United Wammulika Thiago Alcantara
      • Videos | TJ Boyce - It's On | Nayo mpyaa!
      • Videos | RaVaughn - Best Friend | Mpyaaaa Kabisa!
      • Glenn Lewis - Can't Say Love. Ni Mpya Hii.
      • Jay-Z Ampa Skylar Diggins Benz Kama Zawadi ya Gra...
      • Is Tatyana Ali Dating Drake?
      • D'You Want to Know What Kelly Price Is About to Do?
      • Joe Thomas Akifunguka; Pia Kuhusu Album Yake Mpya.
      • Fabregas Kusaini Manchester United ama Arsenal?
      • Mourinho "the happy one" Unataka kujua kwa nini? f...
      • Robert Lewandowski Haendi Bayern Munich
    • ►  May (10)
    • ►  April (9)
    • ►  March (28)
    • ►  February (6)
    • ►  January (17)
  • ►  2012 (128)
    • ►  December (47)
    • ►  November (18)
    • ►  October (48)
    • ►  September (15)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile