RonaldoLionelMessi

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Saturday, 29 September 2012

Eto'o Atangaza Kurudi Timu ya Taifa

Posted on 01:11 by Unknown

Eto'o alitumikia kifungo cha kucheza soka la kimataifa kwa miezi nane na alikataa kushiki timu yake ya taifa, "Indomitable Lions" kwenye mechi yao dhidi ya Cape Verde, lakini sasa anatarajia kurudi kundini.  

 
Samuel Eto'o 

Hayo yamewezekana kutokana na mikutano na makocha na waziri mkuu wao Prime Minister Philemon Yang.

"Kwa ombi la nchi yangu, naamua kurudi Indomitable Lions," Alisema.

"Natiwa moyo na shauku yangu ya kuitumikia nchi yangu kwa imani ile ile ya miaka 15 iliyopita. 

Meneja Song Bahang na kocha Jean Paul Akon wote walikuwepo wakati wa mikutano ya makubaliano hayo ya kumwomba Eto'o kurudi dimbani, na Eto'o ambaye ameshatingisha nyavu mara 53 katika mechi 109 za taifa alizocheza anaamini kwamba ataweza kufanya kazi pamoja timu yake ya makocha ili kuleta mafanikio zaidi kwa taifa lake.  


"Nilikutana na mamlaka ya taifa hivi karibuni ili kujadili hali ya hivi karibuni ya soka la Cameroon, na hususan timu ya taifa." Alisema.  


"Nashawishika kwamba kwa pamoja, tukiweka mbali matakwa yetu binafsi na kuzingatia yale ya kitaifa, tunaweza, na kwa uwezo wa Mungu wa kuifanya Camerron ing'ae." 
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Thomas Ulimwengu, Mbwana Samata na Wenzao Waliowasambaratisha Morocco
    Unaweza kuielezeaje mechi hii ya Stars v Morocco?
  • Is Tatyana Ali Dating Drake?
    Tatyana Ali Addresses Drake Dating Rumors A recent interview on the  HuffingtonPost  made star of the new BET series “ Second Generation Way...
  • If You Missed Some Games of The AFCON From S.Africa. Here Are Actions in Pictures For You.
  • These are the 5 Problems That Manchester United Should Fix in Defence
    As Written by HITC SPORT   The System Ultimately the formation that Sir Alex Ferguson chose to play in the match against Cluj worked becaus...
  • John Terry – Guilty and Not Guilty…What’s the difference?
    John Terry – Guilty and Not Guilty…What’s the difference?
  • Rihanna Alimanusura Uso kwa Uso na Mpenzi wa Mpya wa Chris Brown. Via DailyMirror.
                    Six minutes, people. Let's all breathe a sigh of relief We must be getting old, because when we read that Rihanna turned...
  • Will Manchester United Finish up Chelsea Once Again Tomorrow Night?
    Javier Hernandez is Manchester United's lethal weapon. Just ask Chelsea, who have conceded five at the hands of the Mexican in eight g...
  • Fabregas ready to join United. Via SPEN.co.uk
    Cesc Fabregas has informed friends in the English game that he is ready to leave Barcelona for Manchester United. Barcelona have already reb...
  • Mandela's fading presence worries South Africa. Via Chron
    JOHANNESBURG — As South Africa's governing party moves closer to picking its next leader, it will do so without the man widely viewed ...
  • Gossips About Usher Raymond, Tiffany Evans & Robbi Kristina
    Usher Raymond The drama continues to unfold between Usher and his ex-wife , Tameka. Following separate interviews on " Oprah's  Nex...

Blog Archive

  • ►  2013 (172)
    • ►  August (33)
    • ►  July (29)
    • ►  June (40)
    • ►  May (10)
    • ►  April (9)
    • ►  March (28)
    • ►  February (6)
    • ►  January (17)
  • ▼  2012 (128)
    • ►  December (47)
    • ►  November (18)
    • ►  October (48)
    • ▼  September (15)
      • Liverpool Waliompa Kipigo Norwich Hawa Hapa
      • Picha 4 za Jinsi Man United Walivyokamatwa na Spur...
      • Spurs Yawachapa Kipigo Red Devils
      • Manchester United and Tottenham Hotspurs Clash His...
      • Eto'o Atangaza Kurudi Timu ya Taifa
      • Roberto Di Matteo na Mechi ya Leo Dhidi ya Arsenal
      • Arsenal Dhidi ya Chelsea Kesho
      • Why Cristiano Ronaldo Is the Tiger Woods of World ...
      • John Terry – Guilty and Not Guilty…What’s the diff...
      • Do You Know What Was Darren Fletcher's Dream?
      • John Terry is GUILTY in Racism Scandal
      • Wigan boss charged over post match comments agains...
      • Mourinho Could Manage Into His 70s: Originally Rep...
      • Rihanna with Her New Single "Diamonds"
      • 50 Cent Investigation
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile