RonaldoLionelMessi

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Saturday, 29 September 2012

Eto'o Atangaza Kurudi Timu ya Taifa

Posted on 01:11 by Unknown

Eto'o alitumikia kifungo cha kucheza soka la kimataifa kwa miezi nane na alikataa kushiki timu yake ya taifa, "Indomitable Lions" kwenye mechi yao dhidi ya Cape Verde, lakini sasa anatarajia kurudi kundini.  

 
Samuel Eto'o 

Hayo yamewezekana kutokana na mikutano na makocha na waziri mkuu wao Prime Minister Philemon Yang.

"Kwa ombi la nchi yangu, naamua kurudi Indomitable Lions," Alisema.

"Natiwa moyo na shauku yangu ya kuitumikia nchi yangu kwa imani ile ile ya miaka 15 iliyopita. 

Meneja Song Bahang na kocha Jean Paul Akon wote walikuwepo wakati wa mikutano ya makubaliano hayo ya kumwomba Eto'o kurudi dimbani, na Eto'o ambaye ameshatingisha nyavu mara 53 katika mechi 109 za taifa alizocheza anaamini kwamba ataweza kufanya kazi pamoja timu yake ya makocha ili kuleta mafanikio zaidi kwa taifa lake.  


"Nilikutana na mamlaka ya taifa hivi karibuni ili kujadili hali ya hivi karibuni ya soka la Cameroon, na hususan timu ya taifa." Alisema.  


"Nashawishika kwamba kwa pamoja, tukiweka mbali matakwa yetu binafsi na kuzingatia yale ya kitaifa, tunaweza, na kwa uwezo wa Mungu wa kuifanya Camerron ing'ae." 
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • If You Missed Some Games of The AFCON From S.Africa. Here Are Actions in Pictures For You.
  • Thomas Ulimwengu, Mbwana Samata na Wenzao Waliowasambaratisha Morocco
    Unaweza kuielezeaje mechi hii ya Stars v Morocco?
  • Liverpool Waliompa Kipigo Norwich Hawa Hapa
      Huku Suarez akipiga hat-trick
  • Who has the best squad for title race - United, City, or Chelsea?
    Who has the best squad for title race - United, City, or Chelsea?
  • Ndugu, Soma Hiki Kioja cha Soka Huko Nigeria!
    T imu nne za mpira wa miguu zimesimamishwa kucheza soka nchini Nigeria baada ya mechi zao kuleta matokeo ya utatanishi kwa mechi hizo kumali...
  • Aston Villa vs Newcastle United: Same boat, different engine. Via HITC SPORT
    Alan Pardew's side head to Villa Park just one point ahead of the home team in the league, but differing transfer windows will likely ...
  • Manchester United Transfer Rumours: Cristiano Ronaldo Deal Reportedly Close | Bleacher Report
    Manchester United Transfer Rumours: Cristiano Ronaldo Deal Reportedly Close | Bleacher Report
  • Hatimaye Lulu Aliona Jua.
    Yule msanii maarufu sana hapa nchini kwenye tasnia ya filamu za bongo maarufu kama "Bongo Movie" Elizabeth maarufu kama "Lulu...
  • Pictures: Mario Balotelli's car gets pissed on and greased with bum sweat by Man United fans | 101GG Football news
    Pictures: Mario Balotelli's car gets pissed on and greased with bum sweat by Man United fans | 101GG Football news
  • Celtic Yawafanyia Kweli Barcelona
      Timu ya Celtic jana  usiku ilionesha kwamba Barcelona si chohcote kwao baada ya kuwatungua mara mbili kwa magoli yaliyowekwa kimiani na Wa...

Blog Archive

  • ►  2013 (172)
    • ►  August (33)
    • ►  July (29)
    • ►  June (40)
    • ►  May (10)
    • ►  April (9)
    • ►  March (28)
    • ►  February (6)
    • ►  January (17)
  • ▼  2012 (128)
    • ►  December (47)
    • ►  November (18)
    • ►  October (48)
    • ▼  September (15)
      • Liverpool Waliompa Kipigo Norwich Hawa Hapa
      • Picha 4 za Jinsi Man United Walivyokamatwa na Spur...
      • Spurs Yawachapa Kipigo Red Devils
      • Manchester United and Tottenham Hotspurs Clash His...
      • Eto'o Atangaza Kurudi Timu ya Taifa
      • Roberto Di Matteo na Mechi ya Leo Dhidi ya Arsenal
      • Arsenal Dhidi ya Chelsea Kesho
      • Why Cristiano Ronaldo Is the Tiger Woods of World ...
      • John Terry – Guilty and Not Guilty…What’s the diff...
      • Do You Know What Was Darren Fletcher's Dream?
      • John Terry is GUILTY in Racism Scandal
      • Wigan boss charged over post match comments agains...
      • Mourinho Could Manage Into His 70s: Originally Rep...
      • Rihanna with Her New Single "Diamonds"
      • 50 Cent Investigation
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile