RonaldoLionelMessi

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Friday, 28 September 2012

Arsenal Dhidi ya Chelsea Kesho

Posted on 11:47 by Unknown
Muda muafaka wa kutazama kandanda safi la EPL umewadia hasa tukiitazama Arsenal hususan baada kuwa tayari wsalikutana na Manchester City na kuonesha kandanda safi sana. Sasa Arsenal watapambana kesho na Chelsea.

Huu ni mtihani mwingine kwa timu ya Arsenal na kocha wao Arsene Wenger. Chelsea wakiwa na wachezaji wao kama akina Eden Hazard, Oscar and Fernando Torres, wote wakiwa kwenye hali nzuri ya kimchezo na kiafya, sehemu ya ulinzi ya Arsenal itakuwa na wakati mgumu sana kuhakikisha hakuna madhara yatakayotokea.  

Hebu tuangalie jinsi hani Arsenal watapaswa kupambana kweli kweli illi wapate pointi 3. 
Nadhani watu wengi wamevutiwa na kiwango cha Carl Jenkinson aliyechukua nafasi  ya Bacary Sagna. Beki huyo wa kulia ameonesha maendeleo makubwa na mazuri. Alicheza vizuri pale walipopambana na Coventry katikati  ya wiki.

Walakini atakutana na changamoto nyingine tofauti kabisa dhidi ya Eden Hazard, ambaye amekuwa mchezaji mzuri sana kwwenye EPL, mwenye kuwasumbua sana walinzi kwenye ligi hiyo. 

Kama Jenkinson ataweza kuendelea na ubora wake wa kiwango chake cha hivi karibuni na kumpoteza kabisa Hazaed kwenye wing kama vile walivyofanya Stoke City wikiendi iliyopita itawawia vigumu sana Chelsea kupita kiurahisi.

Najua utapenda sana kufahamu ni nani atawekwa na Arsene Wenger kuanza kucheza kwenye wings. Msimu uliopita hata kusingekuwa na swali kama hili kwani ni dhahiri kwamba Theo Walcot angepewa nafasi ya wing ya kulia. Walakini najaribu kuwaza kwamba Wenger hitaji la mchezaji wake kuwa mshambuliaji, na kwa kuwa mkataba wa Walcot utaishia mwisho wa mwaka huu, anaweza kuwekwa kando ikli wengine wapate nafasi ya kung'ara.
 Replacements hizo zinawaweka wenye viwango vizuri kama Lukas Podolski, kushoto, Wenger anaweza kuwatumia akina Alex-Oxlade Chamberlain, Gervinho, Santi Cazorla au hata Aaron Ramsey kwa upande wa kulia. 

Arsenal wametapa ahueni kubwa baada ya kugundua kwamba John Terry kakutwa na hatia kwa ubaguzi wa rangi na chama cha FA na kufungiwa mechi nne. Hivyo kuwafanya David Luiz naGary Cahill kama chaguo pekee la beki wa katikati kwa timu ya Chelsea.  

Kwa Olivier Giroud, kama ataweza kutumia vizuri nafasi zake. Baada ya kuonekana kwenye mechi yao dhidi ya Coventry, sitashangaa endapo ataongeza kujiamini kwake.

Kwa kupambana na mlinzi kama Luiz ambaye hata hayuko kivile kwenye suala la ulinzi anaweza kutumia hiyo nafasi hasa ya umbo lake. 

Arsene Wenger sasa anakabiliwa na machagua mengi sana na inamuumiza kichwa kila wiki, ingawaje hilo ni zuri zaidi ya wale aliokuwa nao hapo awali. 
Akiwa na Thomas Vermaelen, Laurent Koscielny na Per Mertesacker wote wakiwa fit na hatari kweli kweli, hatuna uhakika nani atachemka kati yao. 


 
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Thomas Ulimwengu, Mbwana Samata na Wenzao Waliowasambaratisha Morocco
    Unaweza kuielezeaje mechi hii ya Stars v Morocco?
  • Liverpool Waliompa Kipigo Norwich Hawa Hapa
      Huku Suarez akipiga hat-trick
  • If You Missed Some Games of The AFCON From S.Africa. Here Are Actions in Pictures For You.
  • These are the 5 Problems That Manchester United Should Fix in Defence
    As Written by HITC SPORT   The System Ultimately the formation that Sir Alex Ferguson chose to play in the match against Cluj worked becaus...
  • Gossips About Usher Raymond, Tiffany Evans & Robbi Kristina
    Usher Raymond The drama continues to unfold between Usher and his ex-wife , Tameka. Following separate interviews on " Oprah's  Nex...
  • Is News About Wayne Rooney True?
    Although United are understood to be prepared to dispense with Rooney this summer should the club receive an offer in excess of £20m for the...
  • John Terry – Guilty and Not Guilty…What’s the difference?
    John Terry – Guilty and Not Guilty…What’s the difference?
  • 52 Ponda backers jailed. By The Citizen
    Story By Rosina John The Citizen Correspondent Fifty-two supporters of Muslim cleric Ponda Issa Ponda board a Prisons Department bus at Dar ...
  • Azam FC date Liberian team. Via IPPMEDIA
    Tanzania representatives in the CAF Confederation Cup, Azam FC have booked a last 16 game against Liberian club Barrack Y.C.II.   The first ...
  • MANDELA'S WIFE THANKS WORLD FOR 'LOVE, GENEROSITY'
    Via AP JOHANNESBURG  — The wife of former South African President Nelson Mandela says that love and generosity from across the world have br...

Blog Archive

  • ►  2013 (172)
    • ►  August (33)
    • ►  July (29)
    • ►  June (40)
    • ►  May (10)
    • ►  April (9)
    • ►  March (28)
    • ►  February (6)
    • ►  January (17)
  • ▼  2012 (128)
    • ►  December (47)
    • ►  November (18)
    • ►  October (48)
    • ▼  September (15)
      • Liverpool Waliompa Kipigo Norwich Hawa Hapa
      • Picha 4 za Jinsi Man United Walivyokamatwa na Spur...
      • Spurs Yawachapa Kipigo Red Devils
      • Manchester United and Tottenham Hotspurs Clash His...
      • Eto'o Atangaza Kurudi Timu ya Taifa
      • Roberto Di Matteo na Mechi ya Leo Dhidi ya Arsenal
      • Arsenal Dhidi ya Chelsea Kesho
      • Why Cristiano Ronaldo Is the Tiger Woods of World ...
      • John Terry – Guilty and Not Guilty…What’s the diff...
      • Do You Know What Was Darren Fletcher's Dream?
      • John Terry is GUILTY in Racism Scandal
      • Wigan boss charged over post match comments agains...
      • Mourinho Could Manage Into His 70s: Originally Rep...
      • Rihanna with Her New Single "Diamonds"
      • 50 Cent Investigation
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile