Sunday, 30 September 2012
Picha 4 za Jinsi Man United Walivyokamatwa na Spurs Hizi Hapa
Posted on 12:23 by Unknown
Spurs Yawachapa Kipigo Red Devils
Posted on 09:54 by Unknown
Clint Dempsey jana aliwathibitishia ushindi Tottenham kwa mara ya kwanza wakiwa Old Trafford tangu December 1989 baada ya kuwapa kipigo mashetani hao wekundu (Man United) na kuwafanya kupoteza mchezo wa pili tangu kuanza kwa ligi hiyo ya Uingereza.
Wakiwa wanaongoza 2-0 hadi half-time, Spurs walikianza kipindi cha pili kwa kuruhusu goli toka kwa Man United lililofungwa na Luis Nani aliyepokea krosi toka kwa Wayne Rooney ambao waliingia kipindi cha pili kama simba aliyejeruhiwa, lakini muda mfupi tu baada ya kuruhusu goli hilo walipiga tena goli la tatu na kuwafanya vijana wa Man United wachanganyikiwe. Lakini Man United walijitahidi kucheza bila kuonesha kama wamechanganyikiwa na kuelekeza mashambulizi makali langoni mwa Spurs huku wakicheza kandanda safi lililowafanya Spurs kupaki gari kuanzia katikati ya uwanja hadi ndani ya eneo lao la 18, huku Rafael, Wayne Rooney, Evra na hata Rio Ferdinand wakipeleka krosi za kila mara langoni mwa wapinzani wao wakijaribi kutafuta kusawazisha na hata kupata goli la ushindi. Lakini alikuwa ni Shinji Kagawa aliyewapatia Man United goli la pili na la mwisho na kuufanya mchezo kwisha kwa Spurs kuibuka kwa ushindi wa 3-2.
Spurs wakiwa bado hawajapoteza mchezo tangu kufunguliwa kwa ligi hiyo, wanajipatia umaarufu na kujiamini sana chini ya kocha wao Andre Villas-Boas, aliyekuwa kocha wa zamani wa Porto.
Kuumia kwa Nemanja Vidic kulileta pengo kubwa sana kwa upande wa Man United na kusababisha katikati kuwe na kichochoro ambacho kiliwapatia Spurs urahisi wa kufunga magoli yao. Pamoja na wachezaji wakongwe Ryan Giggs na Paul Scholes, bado kullikuwa na udhaifu mkubwa kwani Spurs walionekana wenye mbio na nguvu wakiwa na maumbo makubwa zaidi ya Man United.
Giggs na Scholes wanashindwa siku hizi kuonesha ule umaarufu wao wa kutawala kiungo na ile tabia ya Giggs kupiga krosi zinazowarahisishia wafungaji kupata magoli mazuri. Kwani walionekana kuzidiwa sana na wachezaji wenye kasi na nguvu nyika Gareth Bale na Moussa Dembele, na kufanya kuonekana kama vile chaguo la Ferguson ni ajali iliyokuwa inasubiriwa kutokea.
Pamoja na kwamba hakukuwa na wa kumlaumu kati yao kwa goli la Vertonghen kwenye dakika ya 2 tu ya mchezo, lakini ilioneka wazi aliachiwa nafasi ya wazi ya kukimbia kuanzia katikati ya dimba kabla ya kufunga goli.
Vertonghen, aliyetokea Ajax, aliwapita Nani na Rio Ferdinand wakati alipokimbia kwa mita 35 na shuti lake kumgonga beki wa Man United John Evans kabla halitinga wavuni.
Chelsea wameendelea kubakia kileleni baada ya Juan Mata kuifanya iibuke kwa ushindi wa 2-1 ugenini dhidi ya Arsenal. Wapo pointi 3 mbele ya Everon ambao nao waliendelea na ushindi wa 3-1 dhidi ya Southampton.
Mabingwa watetezi wa Premier League Manchester City wakitokea nyuma walishinda 2-1 dhidi ya Fulham, wakimuingiza Edin Dzeko aliyewapatia goli la ushindi dakika 3 kabla ya mtanange kuisha.
Huyu ndiye Clint Dempsey akishangilia goli
Wakiwa wanaongoza 2-0 hadi half-time, Spurs walikianza kipindi cha pili kwa kuruhusu goli toka kwa Man United lililofungwa na Luis Nani aliyepokea krosi toka kwa Wayne Rooney ambao waliingia kipindi cha pili kama simba aliyejeruhiwa, lakini muda mfupi tu baada ya kuruhusu goli hilo walipiga tena goli la tatu na kuwafanya vijana wa Man United wachanganyikiwe. Lakini Man United walijitahidi kucheza bila kuonesha kama wamechanganyikiwa na kuelekeza mashambulizi makali langoni mwa Spurs huku wakicheza kandanda safi lililowafanya Spurs kupaki gari kuanzia katikati ya uwanja hadi ndani ya eneo lao la 18, huku Rafael, Wayne Rooney, Evra na hata Rio Ferdinand wakipeleka krosi za kila mara langoni mwa wapinzani wao wakijaribi kutafuta kusawazisha na hata kupata goli la ushindi. Lakini alikuwa ni Shinji Kagawa aliyewapatia Man United goli la pili na la mwisho na kuufanya mchezo kwisha kwa Spurs kuibuka kwa ushindi wa 3-2.
Spurs wakiwa bado hawajapoteza mchezo tangu kufunguliwa kwa ligi hiyo, wanajipatia umaarufu na kujiamini sana chini ya kocha wao Andre Villas-Boas, aliyekuwa kocha wa zamani wa Porto.
Kuumia kwa Nemanja Vidic kulileta pengo kubwa sana kwa upande wa Man United na kusababisha katikati kuwe na kichochoro ambacho kiliwapatia Spurs urahisi wa kufunga magoli yao. Pamoja na wachezaji wakongwe Ryan Giggs na Paul Scholes, bado kullikuwa na udhaifu mkubwa kwani Spurs walionekana wenye mbio na nguvu wakiwa na maumbo makubwa zaidi ya Man United.
Giggs na Scholes wanashindwa siku hizi kuonesha ule umaarufu wao wa kutawala kiungo na ile tabia ya Giggs kupiga krosi zinazowarahisishia wafungaji kupata magoli mazuri. Kwani walionekana kuzidiwa sana na wachezaji wenye kasi na nguvu nyika Gareth Bale na Moussa Dembele, na kufanya kuonekana kama vile chaguo la Ferguson ni ajali iliyokuwa inasubiriwa kutokea.
Pamoja na kwamba hakukuwa na wa kumlaumu kati yao kwa goli la Vertonghen kwenye dakika ya 2 tu ya mchezo, lakini ilioneka wazi aliachiwa nafasi ya wazi ya kukimbia kuanzia katikati ya dimba kabla ya kufunga goli.
Vertonghen, aliyetokea Ajax, aliwapita Nani na Rio Ferdinand wakati alipokimbia kwa mita 35 na shuti lake kumgonga beki wa Man United John Evans kabla halitinga wavuni.
Chelsea wameendelea kubakia kileleni baada ya Juan Mata kuifanya iibuke kwa ushindi wa 2-1 ugenini dhidi ya Arsenal. Wapo pointi 3 mbele ya Everon ambao nao waliendelea na ushindi wa 3-1 dhidi ya Southampton.
Mabingwa watetezi wa Premier League Manchester City wakitokea nyuma walishinda 2-1 dhidi ya Fulham, wakimuingiza Edin Dzeko aliyewapatia goli la ushindi dakika 3 kabla ya mtanange kuisha.
Saturday, 29 September 2012
Manchester United and Tottenham Hotspurs Clash History is Here
Posted on 01:39 by Unknown
February 2, 2008 - Tottenham 1-1 Manchester United
March 4, 2012 - Tottenham 1-3 Manchester United
October 30, 2010 - Manchester United 2-0 Tottenham
January 4, 2005 - Manchester United 0-0 Tottenham
August 10, 1997 - Tottenham 0-2 Manchester United
January 1, 1996 - Tottenham 4-1 Manchester United
December 16, 1989 - Manchester United 0-1 Tottenham
April 25, 2009 - Manchester United 5-2 Tottenham
May 16, 1999 - Manchester 2-1 Tottenham
September 28, 2001 - Tottenham 3-5 Manchester United
What do you think will happen today? Which is your side? Tell the world today..!!
Eto'o Atangaza Kurudi Timu ya Taifa
Posted on 01:11 by Unknown
Eto'o alitumikia kifungo cha kucheza soka la kimataifa kwa miezi nane na alikataa kushiki timu yake ya taifa, "Indomitable Lions" kwenye mechi yao dhidi ya Cape Verde, lakini sasa anatarajia kurudi kundini.
Samuel Eto'o
"Kwa ombi la nchi yangu, naamua kurudi Indomitable Lions," Alisema.
"Natiwa moyo na shauku yangu ya kuitumikia nchi yangu kwa imani ile ile ya miaka 15 iliyopita.
Meneja Song Bahang na kocha Jean Paul Akon wote walikuwepo wakati wa mikutano ya makubaliano hayo ya kumwomba Eto'o kurudi dimbani, na Eto'o ambaye ameshatingisha nyavu mara 53 katika mechi 109 za taifa alizocheza anaamini kwamba ataweza kufanya kazi pamoja timu yake ya makocha ili kuleta mafanikio zaidi kwa taifa lake.
"Nilikutana na mamlaka ya taifa hivi karibuni ili kujadili hali ya hivi karibuni ya soka la Cameroon, na hususan timu ya taifa." Alisema.
"Nashawishika kwamba kwa pamoja, tukiweka mbali matakwa yetu binafsi na kuzingatia yale ya kitaifa, tunaweza, na kwa uwezo wa Mungu wa kuifanya Camerron ing'ae."
Roberto Di Matteo na Mechi ya Leo Dhidi ya Arsenal
Posted on 00:48 by Unknown
Pamoja na kwamba mwisho wa wiki hii unaonekana ni mgumu sana kwa kocha wa Chelsea Roberto Di Matteo, lakini yeye mwenyewe anasisitiza kwamba hatishwi wala kuogopeshwa jinsi timu yake inavyoonekana kwa nje, yaani mitazamo ya watu.
Kepteni wa Chelsea John Terry amesimamishwa na chama cha soka huko Uingereza kutocheza michezo minne kutokana na katabia kake alikokaonesha ka ubaguzi wa rangi dhidi ya Anto Ferdinand msimu uliopita.
Ingawaje Di Matteo, hataruhusu hukumu maneno yoyote toka nje ya kuhusu Chelsea ili isije wasumbua wachezaji wake na club kwa ujumla.
"Tunajiamini ," alisema Di Matteo kuhusu mechi yao na Arsenal mchana wa leo. "hivyo hatujali sana kitu gani watu huko nje hunena juu yetu. Ni lazima tujiangalie nguvu yetu juu ya mchezo na huo ndiyo mwenendo wetu."
"Hivyo ndivyo nionavyo na nihisivyo. Siwezi kuwaza eti watu wengine wana maoni gani. Tunachoweza kufanya ni kuwaza ni namna gani tunacheza na tunavyojiheshimu na kujitunza. Lazima tujiweke kwenye hali nzuri. Na hata mwisho wa siku tunajua kwa hakika wapenzi wa timu pinzani hawatatupenda."
"Hayo ndiyo maneno yangu kwa ujula. Hivyo hatutapoteza nguvu nyingi kuwa na wasi wasi juu ya nini wanawaza. Ni lazima tujifikirie wenyewe, tujaribu na kushinda mechi kwa timu yetu."
Terry atakuwepo kwenye mechi ya leo, pamoja na kukosa siku kadhaa za mazoezi ili ahudhurie kesi yake huko Wembley.
Di Matteo alisema kwamba kila kitu kitaendelea kama kawaida na kwamba atachagua timu yake kwa mujibu wa Emirates pekee.
"Uchgauzi wangu mimi ni wa kawaida tu." Alisema Di Matteo. "Ninavyoweza kuona Terry yupo fit. kutakuwa na taratibu za kawaida tu. Itakuwa ni kazi yangu kuchagua timu itakayoipiga Arsenal."
Terry ana uwezo wa kucheza vizuri tu bila kujali mambo ambayo inaonekana yatawachanganya wengine, na Di Matteo anaona hakuna chochote cha kupoteza leo.
Wakati bosi wa Chelsea alieleweka kuchukua tahadhari kuzungumzia ishu za hivi karibuni, alimsifu kwa hasaka Terry na tabia yake kwa upande wa kazi awapo uwanjani. "Niwezayo kusema ni kazi yake awapo kwenye timu." Alisema Di Matteo.
"Siku zote yeye ni wa kwamba kuwasili. Ana jitihada sana na amekuwa ni mtumishi mzuri sana wa timu yake.
Chelsea walianza Premier League vizuri na wapo kileleni, lakini Arsenal watakuwa ni wapinzani wao hatari sana kwa msimu huu.
"Utakuwa ni mtihani mgumu, alikubali Di Matteo. "Arsenal siku zote ni mtihani mgumu, ni changamoto kubwa kwetu. Lakini na kwao pia itakuwa ni changamoto kubwa, kwani sisi ni timu ngumu na nzuri pia.
Ingawaje Arsenal walimuuza Robin van Persie na Alex Song, Di Matteo alisema alitabiri kwamba wangekuwa ni tishio kwao tangu mwanzo.
"Nilisema mwanzoni mwa msimu kwamba Arsenal wataleta changamoto kwenye ligi," alisema meneja huyo. "Sina uhakika kama kuna aliyeniamini, lakini hivyo ndivyo nilivyooona mimi, na sijabadili mawazo yangu."
"Sidhani kama wana namna nyingine tofauti ya kucheza. Wanacheza kwa kumiliki sana mpira na kuutafuta wanapoupoteza, lakini Lukas Podolski na Gervinho wamekuwa wakifunga magoli, na Santi Cazorla. Wanao wachezaji ambao ni tishio na wenye uwezo wa kubadilisha nafasi." Alisema Di Matteo.
Kama wewe ni mshabiki wa Arsenal au Chelsea, unasemaje kuhusu mechi ya leo?
Roberto Di Matteo
Anton Ferdinand na John Terry
Anton Ferdinand
"Tunajiamini ," alisema Di Matteo kuhusu mechi yao na Arsenal mchana wa leo. "hivyo hatujali sana kitu gani watu huko nje hunena juu yetu. Ni lazima tujiangalie nguvu yetu juu ya mchezo na huo ndiyo mwenendo wetu."
"Hivyo ndivyo nionavyo na nihisivyo. Siwezi kuwaza eti watu wengine wana maoni gani. Tunachoweza kufanya ni kuwaza ni namna gani tunacheza na tunavyojiheshimu na kujitunza. Lazima tujiweke kwenye hali nzuri. Na hata mwisho wa siku tunajua kwa hakika wapenzi wa timu pinzani hawatatupenda."
"Hayo ndiyo maneno yangu kwa ujula. Hivyo hatutapoteza nguvu nyingi kuwa na wasi wasi juu ya nini wanawaza. Ni lazima tujifikirie wenyewe, tujaribu na kushinda mechi kwa timu yetu."
Terry atakuwepo kwenye mechi ya leo, pamoja na kukosa siku kadhaa za mazoezi ili ahudhurie kesi yake huko Wembley.
Di Matteo alisema kwamba kila kitu kitaendelea kama kawaida na kwamba atachagua timu yake kwa mujibu wa Emirates pekee.
"Uchgauzi wangu mimi ni wa kawaida tu." Alisema Di Matteo. "Ninavyoweza kuona Terry yupo fit. kutakuwa na taratibu za kawaida tu. Itakuwa ni kazi yangu kuchagua timu itakayoipiga Arsenal."
Terry ana uwezo wa kucheza vizuri tu bila kujali mambo ambayo inaonekana yatawachanganya wengine, na Di Matteo anaona hakuna chochote cha kupoteza leo.
Wakati bosi wa Chelsea alieleweka kuchukua tahadhari kuzungumzia ishu za hivi karibuni, alimsifu kwa hasaka Terry na tabia yake kwa upande wa kazi awapo uwanjani. "Niwezayo kusema ni kazi yake awapo kwenye timu." Alisema Di Matteo.
"Siku zote yeye ni wa kwamba kuwasili. Ana jitihada sana na amekuwa ni mtumishi mzuri sana wa timu yake.
Chelsea walianza Premier League vizuri na wapo kileleni, lakini Arsenal watakuwa ni wapinzani wao hatari sana kwa msimu huu.
"Utakuwa ni mtihani mgumu, alikubali Di Matteo. "Arsenal siku zote ni mtihani mgumu, ni changamoto kubwa kwetu. Lakini na kwao pia itakuwa ni changamoto kubwa, kwani sisi ni timu ngumu na nzuri pia.
Ingawaje Arsenal walimuuza Robin van Persie na Alex Song, Di Matteo alisema alitabiri kwamba wangekuwa ni tishio kwao tangu mwanzo.
"Nilisema mwanzoni mwa msimu kwamba Arsenal wataleta changamoto kwenye ligi," alisema meneja huyo. "Sina uhakika kama kuna aliyeniamini, lakini hivyo ndivyo nilivyooona mimi, na sijabadili mawazo yangu."
"Sidhani kama wana namna nyingine tofauti ya kucheza. Wanacheza kwa kumiliki sana mpira na kuutafuta wanapoupoteza, lakini Lukas Podolski na Gervinho wamekuwa wakifunga magoli, na Santi Cazorla. Wanao wachezaji ambao ni tishio na wenye uwezo wa kubadilisha nafasi." Alisema Di Matteo.
Kama wewe ni mshabiki wa Arsenal au Chelsea, unasemaje kuhusu mechi ya leo?
Friday, 28 September 2012
Arsenal Dhidi ya Chelsea Kesho
Posted on 11:47 by Unknown
Muda muafaka wa kutazama kandanda safi la EPL umewadia hasa tukiitazama Arsenal hususan baada kuwa tayari wsalikutana na Manchester City na kuonesha kandanda safi sana. Sasa Arsenal watapambana kesho na Chelsea.
Huu ni mtihani mwingine kwa timu ya Arsenal na kocha wao Arsene Wenger. Chelsea wakiwa na wachezaji wao kama akina Eden Hazard, Oscar and Fernando Torres, wote wakiwa kwenye hali nzuri ya kimchezo na kiafya, sehemu ya ulinzi ya Arsenal itakuwa na wakati mgumu sana kuhakikisha hakuna madhara yatakayotokea.
Hebu tuangalie jinsi hani Arsenal watapaswa kupambana kweli kweli illi wapate pointi 3.
Huu ni mtihani mwingine kwa timu ya Arsenal na kocha wao Arsene Wenger. Chelsea wakiwa na wachezaji wao kama akina Eden Hazard, Oscar and Fernando Torres, wote wakiwa kwenye hali nzuri ya kimchezo na kiafya, sehemu ya ulinzi ya Arsenal itakuwa na wakati mgumu sana kuhakikisha hakuna madhara yatakayotokea.
Hebu tuangalie jinsi hani Arsenal watapaswa kupambana kweli kweli illi wapate pointi 3.
Nadhani watu wengi wamevutiwa na kiwango cha Carl Jenkinson aliyechukua nafasi ya Bacary Sagna. Beki huyo wa kulia ameonesha maendeleo makubwa na mazuri. Alicheza vizuri pale walipopambana na Coventry katikati ya wiki.
Walakini atakutana na changamoto nyingine tofauti kabisa dhidi ya Eden Hazard, ambaye amekuwa mchezaji mzuri sana kwwenye EPL, mwenye kuwasumbua sana walinzi kwenye ligi hiyo.
Kama Jenkinson ataweza kuendelea na ubora wake wa kiwango chake cha hivi karibuni na kumpoteza kabisa Hazaed kwenye wing kama vile walivyofanya Stoke City wikiendi iliyopita itawawia vigumu sana Chelsea kupita kiurahisi.
Najua utapenda sana kufahamu ni nani atawekwa na Arsene Wenger kuanza kucheza kwenye wings. Msimu uliopita hata kusingekuwa na swali kama hili kwani ni dhahiri kwamba Theo Walcot angepewa nafasi ya wing ya kulia. Walakini najaribu kuwaza kwamba Wenger hitaji la mchezaji wake kuwa mshambuliaji, na kwa kuwa mkataba wa Walcot utaishia mwisho wa mwaka huu, anaweza kuwekwa kando ikli wengine wapate nafasi ya kung'ara.
Replacements hizo zinawaweka wenye viwango vizuri kama Lukas Podolski, kushoto, Wenger anaweza kuwatumia akina Alex-Oxlade Chamberlain, Gervinho, Santi Cazorla au hata Aaron Ramsey kwa upande wa kulia.
Walakini atakutana na changamoto nyingine tofauti kabisa dhidi ya Eden Hazard, ambaye amekuwa mchezaji mzuri sana kwwenye EPL, mwenye kuwasumbua sana walinzi kwenye ligi hiyo.
Kama Jenkinson ataweza kuendelea na ubora wake wa kiwango chake cha hivi karibuni na kumpoteza kabisa Hazaed kwenye wing kama vile walivyofanya Stoke City wikiendi iliyopita itawawia vigumu sana Chelsea kupita kiurahisi.
Najua utapenda sana kufahamu ni nani atawekwa na Arsene Wenger kuanza kucheza kwenye wings. Msimu uliopita hata kusingekuwa na swali kama hili kwani ni dhahiri kwamba Theo Walcot angepewa nafasi ya wing ya kulia. Walakini najaribu kuwaza kwamba Wenger hitaji la mchezaji wake kuwa mshambuliaji, na kwa kuwa mkataba wa Walcot utaishia mwisho wa mwaka huu, anaweza kuwekwa kando ikli wengine wapate nafasi ya kung'ara.
Replacements hizo zinawaweka wenye viwango vizuri kama Lukas Podolski, kushoto, Wenger anaweza kuwatumia akina Alex-Oxlade Chamberlain, Gervinho, Santi Cazorla au hata Aaron Ramsey kwa upande wa kulia.
Arsenal wametapa ahueni kubwa baada ya kugundua kwamba John Terry kakutwa na hatia kwa ubaguzi wa rangi na chama cha FA na kufungiwa mechi nne. Hivyo kuwafanya David Luiz naGary Cahill kama chaguo pekee la beki wa katikati kwa timu ya Chelsea.
Kwa Olivier Giroud, kama ataweza kutumia vizuri nafasi zake. Baada ya kuonekana kwenye mechi yao dhidi ya Coventry, sitashangaa endapo ataongeza kujiamini kwake.
Kwa kupambana na mlinzi kama Luiz ambaye hata hayuko kivile kwenye suala la ulinzi anaweza kutumia hiyo nafasi hasa ya umbo lake.
Kwa Olivier Giroud, kama ataweza kutumia vizuri nafasi zake. Baada ya kuonekana kwenye mechi yao dhidi ya Coventry, sitashangaa endapo ataongeza kujiamini kwake.
Kwa kupambana na mlinzi kama Luiz ambaye hata hayuko kivile kwenye suala la ulinzi anaweza kutumia hiyo nafasi hasa ya umbo lake.
Arsene Wenger sasa anakabiliwa na machagua mengi sana na inamuumiza kichwa kila wiki, ingawaje hilo ni zuri zaidi ya wale aliokuwa nao hapo awali.
Akiwa na Thomas Vermaelen, Laurent Koscielny na Per Mertesacker wote wakiwa fit na hatari kweli kweli, hatuna uhakika nani atachemka kati yao.
Akiwa na Thomas Vermaelen, Laurent Koscielny na Per Mertesacker wote wakiwa fit na hatari kweli kweli, hatuna uhakika nani atachemka kati yao.
Why Cristiano Ronaldo Is the Tiger Woods of World Football: As it Was Firstly Written by Bleacher Report
Posted on 10:15 by Unknown
is one of the best footballers of our time. The way he has dominated La Liga in the past two seasons reminds us of one of the most consistent athletes in sports history: Tiger Woods.Despite playing totally different disciplines, these two have a lot in common. Both have been cornerstones for their sports and have become trendsetting athletes. They've acquired huge sponsorship deals and displayed record-breaking performances.
Tiger and "CR7" work hard toward a shared goal: giving their best and becoming the greatest ever.
Let’s find out why the Portuguese has become a cornerstone in world football as much as Tiger has become for golf.
Cristiano Ronaldo is also in the list and sits comfortably at ninth. Although David Beckham is one spot higher, CR7's salary is around $20.5 million, which means he earns $11.5 million more than "Becks."
This makes them the highest earners in their sport, without taking sponsorship deals into consideration.
Hate him or love him
Let's face it, these two have a huge fan base but also a lot of haters. For Tiger everything began when he cheated on his wife back in 2009. His image of the family man vanished quickly.
Cristiano's rivalry with Messi and the way he acts on and off the pitch—whether it is diving or making a controversial statement or even an amazing goal—stir things around him.
Cristiano has been involved in a similar discussion, but has been constantly compared with Lionel Messi. In 2008 he won the FIFA Ballon d'Or and has been a cornerstone in world football ever since.
Tiger Woods is the golfer with the most followers on Twitter.
When he first opened his account he didn't tweet much, but after his cheating scandal, he picked up the slack. Now, Eldrick posts and even organizes Q&As with his fans.
Cristiano Ronaldo shares the honor in football, but also has become the most followed athlete. He currently has over 13 million people reading what he is up to.
CR7 is a regular tweeter that shares photos, thoughts and even re-tweets stories from media, colleagues and aficionados.
Sponsorship deals
Nike, NetJets, EA Sports, Konami, Rolex, you name it. These two have some of the best sponsors in the world.
Woods makes $55 million annually as a result of endorsements. The former world No. 1 lost Gatorade, AT&T, Buick and Tag Heuer in the last couple of years, but is still the athlete that receives more money from his sponsors.
In that same category, Cristiano Ronaldo sits 10th and is second to David Beckham. However, SportsPro ranked the Portuguese 5th in the World's Most Marketable Athletes list.
Becks was not included because he "is on the wane" according to the magazine
Tiger and "CR7" work hard toward a shared goal: giving their best and becoming the greatest ever.
Let’s find out why the Portuguese has become a cornerstone in world football as much as Tiger has become for golf.
Earnings
According to Forbes, Tiger Woods is the third highest-paid athlete in the world. His salary goes as high as $4.4 million per year.Cristiano Ronaldo is also in the list and sits comfortably at ninth. Although David Beckham is one spot higher, CR7's salary is around $20.5 million, which means he earns $11.5 million more than "Becks."
This makes them the highest earners in their sport, without taking sponsorship deals into consideration.
Hate him or love him
Let's face it, these two have a huge fan base but also a lot of haters. For Tiger everything began when he cheated on his wife back in 2009. His image of the family man vanished quickly.
Cristiano's rivalry with Messi and the way he acts on and off the pitch—whether it is diving or making a controversial statement or even an amazing goal—stir things around him.
Performance
Tiger is one of the best golfers in history. Many consider him to be even better than Jack Nickalus, others believe that he won't pass the "Golden Bear" until he wins more than 18 majors.Cristiano has been involved in a similar discussion, but has been constantly compared with Lionel Messi. In 2008 he won the FIFA Ballon d'Or and has been a cornerstone in world football ever since.
When he first opened his account he didn't tweet much, but after his cheating scandal, he picked up the slack. Now, Eldrick posts and even organizes Q&As with his fans.
Cristiano Ronaldo shares the honor in football, but also has become the most followed athlete. He currently has over 13 million people reading what he is up to.
CR7 is a regular tweeter that shares photos, thoughts and even re-tweets stories from media, colleagues and aficionados.
Sponsorship deals
Nike, NetJets, EA Sports, Konami, Rolex, you name it. These two have some of the best sponsors in the world.
Woods makes $55 million annually as a result of endorsements. The former world No. 1 lost Gatorade, AT&T, Buick and Tag Heuer in the last couple of years, but is still the athlete that receives more money from his sponsors.
In that same category, Cristiano Ronaldo sits 10th and is second to David Beckham. However, SportsPro ranked the Portuguese 5th in the World's Most Marketable Athletes list.
Becks was not included because he "is on the wane" according to the magazine
Source: Bleacher Report
John Terry – Guilty and Not Guilty…What’s the difference?
Posted on 09:51 by Unknown
Thursday, 27 September 2012
Do You Know What Was Darren Fletcher's Dream?
Posted on 23:59 by Unknown
Darren Fletcher said it was a dream come true to captain Manchester United for the first time in their 2-1 Capital One Cup victory over Newcastle on Wednesday.
Fletcher, 28, made his first start for 10 months in the Old Trafford fixture, after recovering from the effects of a chronic bowel problem.
And as the senior figure in a youthful team, the Scotland captain was given the United armband - something he was very proud of.
"It's my first time as captain of Manchester United," he told the club's television channel. "It's a fantastic moment, something you dream about.
"Obviously, having done it for my country means a lot but to do it for United as well [is incredible]. However, the most important thing, despite all these things like me coming back and being captain, was for us to win the game."
Fletcher made a substitute appearance against Galatasaray last week, his first senior game since the 2-2 draw with Benfica in November 2011.
Another player returning to the starting line-up against Newcastle was Wayne Rooney, who had been out for a month with a thigh injury.
Rooney, 26, played at the tip of a midfield diamond, with Fletcher at the base, and impressed the stand-in captain with his performance.
"Wayne was slotting in behind the strikers and enjoying it," he said. "He was getting on the ball, pinging it wide left and right and using his experience. He's a fantastic player with great imagination and enthusiasm and it's great for United to have a lot of players competing for places."
Fletcher also praised centre-backs Scott Wootton and Michael Keane, who both made their first United starts in an inexperienced defence.
"They were fantastic," he added. "They were talking to me the whole game. For two young centre-halves playing against good strikers they were fantastic. All the lads were."
This News was firstly reported by Bleacher Report
Fletcher, 28, made his first start for 10 months in the Old Trafford fixture, after recovering from the effects of a chronic bowel problem.
And as the senior figure in a youthful team, the Scotland captain was given the United armband - something he was very proud of.
"It's my first time as captain of Manchester United," he told the club's television channel. "It's a fantastic moment, something you dream about.
"Obviously, having done it for my country means a lot but to do it for United as well [is incredible]. However, the most important thing, despite all these things like me coming back and being captain, was for us to win the game."
Fletcher made a substitute appearance against Galatasaray last week, his first senior game since the 2-2 draw with Benfica in November 2011.
Another player returning to the starting line-up against Newcastle was Wayne Rooney, who had been out for a month with a thigh injury.
Rooney, 26, played at the tip of a midfield diamond, with Fletcher at the base, and impressed the stand-in captain with his performance.
"Wayne was slotting in behind the strikers and enjoying it," he said. "He was getting on the ball, pinging it wide left and right and using his experience. He's a fantastic player with great imagination and enthusiasm and it's great for United to have a lot of players competing for places."
Fletcher also praised centre-backs Scott Wootton and Michael Keane, who both made their first United starts in an inexperienced defence.
"They were fantastic," he added. "They were talking to me the whole game. For two young centre-halves playing against good strikers they were fantastic. All the lads were."
This News was firstly reported by Bleacher Report
John Terry is GUILTY in Racism Scandal
Posted on 23:08 by Unknown
As is was firstly written by Bleacher Report:
may have been found innocent of racial abuse by the Westminster Magistrates' Court in July, but the Football Association found the veteran of Chelsea and England football guilty of those same charges on Thursday morning.
He has also been fined £220,000, according to an FA press release. Of course, Terry has the right to appeal the decision, which would freeze these punishments until the Appeal Board came to its own decision.
Terry has since released a statement via Sky Sports:
The fallout from his incident with Anton Ferdinand of Queens Park Rangers last October continued on Thursday, and his punishment will surely set a precedent for penalties that will be doled out in racially based issues such as this.
Terry had already retired from international duty in the wake of the FA's hearing, saying (via BBC), "In pursuing charges against me where I have already been cleared in a court of law, [the FA] have made my position with the national team untenable."
This was not just a huge decision by the FA, but the entire situation has been seen as a huge moment for race relations and tolerance in sport in general. Dan Roan of BBC put it well before the verdict was released on Thursday
I don't think we've heard the last of this situation. Today's decision by the FA is going to keep this conversation relevant for some time, both in English football and abroad.
Still, no matter where you fall on the FA's decision, it is positive to see the vigilance with which they've sought to eliminate racial intolerance in the game. Far too often we hear of racial abuse coming from the stands and directed at the players.
While reprehensible, ignorant people will always exist. But that level of ignorance and intolerance doesn't belong on the pitch.
Source: Bleacher Report
may have been found innocent of racial abuse by the Westminster Magistrates' Court in July, but the Football Association found the veteran of Chelsea and England football guilty of those same charges on Thursday morning.
He has also been fined £220,000, according to an FA press release. Of course, Terry has the right to appeal the decision, which would freeze these punishments until the Appeal Board came to its own decision.
Terry has since released a statement via Sky Sports:
A statement issued by Terry's management company said: "Mr Terry is disappointed that the FA Regulatory Commission has reached a different conclusion to the clear not guilty verdict of a court of law.
"He has asked for the detailed written reasons of the decision and will consider them carefully before deciding whether to lodge an appeal."
The fallout from his incident with Anton Ferdinand of Queens Park Rangers last October continued on Thursday, and his punishment will surely set a precedent for penalties that will be doled out in racially based issues such as this.
Terry had already retired from international duty in the wake of the FA's hearing, saying (via BBC), "In pursuing charges against me where I have already been cleared in a court of law, [the FA] have made my position with the national team untenable."
This was not just a huge decision by the FA, but the entire situation has been seen as a huge moment for race relations and tolerance in sport in general. Dan Roan of BBC put it well before the verdict was released on Thursday
At stake is not just the reputation of one of the most prominent figures in the English game. This has also shone a spotlight on the conflicting interests at the heart of the FA's disciplinary process and its relationship with the law.
This has always been about so much more than simply what one man said to another on a pitch. The Terry case raised serious questions about football's fight against discrimination. FA independent panels have handed out many judgements in the past. Few will have been as important as this.But will Terry's reputation really take a serious hit? His supporters will point out that he was found innocent of these charges in a court of law. Which findings are we to believe?
I don't think we've heard the last of this situation. Today's decision by the FA is going to keep this conversation relevant for some time, both in English football and abroad.
Still, no matter where you fall on the FA's decision, it is positive to see the vigilance with which they've sought to eliminate racial intolerance in the game. Far too often we hear of racial abuse coming from the stands and directed at the players.
While reprehensible, ignorant people will always exist. But that level of ignorance and intolerance doesn't belong on the pitch.
Source: Bleacher Report
Wednesday, 26 September 2012
Wigan boss charged over post match comments against United
Posted on 10:42 by Unknown
The English Football Association has charged Wigan Manager Roberto Martinez for unruly post match comments that he made after the Barclays Premier League game against Manchester United last week.
The Latics lost 4-0 at Old Trafford during which he was unhappy about a penalty awarded to the hosts as well as a Danny Welbeck challenge on Franco di Santo which he felt warranted a red card.
After the match, Martinez said: “I have come to United three times before today and for whatever reason we don’t seem to be measured in the same manner as the team at home. Today the penalty is as bad a decision as you are going to see in the Premier League.”
He went on to say: “In many ways, you feel as though you are fighting against a mountain. There were tackles flying around that if they had been the other way round there would have been a couple of red cards.”
Martinez described Welbeck’s challenge as “completely reckless”, adding: “It is a red card, for a Wigan player, Manchester United, everyone.”
Mourinho Could Manage Into His 70s: Originally Reported by Bleacher Report
Posted on 10:03 by Unknown
Real Madrid manager Jose Mourinho says that he is not fully satisfied yet with his medals haul and hopes to remain in football for many more years.
Mourinho explained that despite winning league titles in Portugal, England, Italy and Spain, and two Champions League trophies with different clubs, his coaching career was still in its early phases.
"What I did was amazing, but at the same time I look forward and I feel myself better than ever, stronger than ever," Mourinho told Sky Sports. "I am still at the beginning of my professional life."
The former Porto, Chelsea and Internazionale coach, who will turn 50 next January, said that he could see himself emulating current Manchester United boss Alex Ferguson and remaining in football into his 70s.
"I understand perfectly why Sir Alex is still in the job and I think I will be the same," Mourinho said. "I love football so much, I love coaching so much. I am really very, very young. Even when I become 50, I have a lot in front of me."
The 'Only One' said that such a landmark could affect other people, but he will keep looking forward to life's next challenges.
"Fifty is a number with a certain impact," he said. "It is a number I believe sometimes has a psychologically negative impact on many people because they realise the world moves very, very fast and our lives are very, very short. It is a number that makes me think and look back, but also look forward too."
Source: Bleaccher Report
Mourinho explained that despite winning league titles in Portugal, England, Italy and Spain, and two Champions League trophies with different clubs, his coaching career was still in its early phases.
"What I did was amazing, but at the same time I look forward and I feel myself better than ever, stronger than ever," Mourinho told Sky Sports. "I am still at the beginning of my professional life."
The former Porto, Chelsea and Internazionale coach, who will turn 50 next January, said that he could see himself emulating current Manchester United boss Alex Ferguson and remaining in football into his 70s.
"I understand perfectly why Sir Alex is still in the job and I think I will be the same," Mourinho said. "I love football so much, I love coaching so much. I am really very, very young. Even when I become 50, I have a lot in front of me."
The 'Only One' said that such a landmark could affect other people, but he will keep looking forward to life's next challenges.
"Fifty is a number with a certain impact," he said. "It is a number I believe sometimes has a psychologically negative impact on many people because they realise the world moves very, very fast and our lives are very, very short. It is a number that makes me think and look back, but also look forward too."
Source: Bleaccher Report
Rihanna with Her New Single "Diamonds"
Posted on 05:39 by Unknown
We know the phrase “good morning” is thrown around pretty liberally but today is extra good because Rihanna literally just premiered her new single “Diamonds” and, trust us, if this doesn’t make your Wednesday feel like a Friday then we don’t know what will.
.
As far as the track itself goes, it’s the perfect song to set the tone for Rihanna’s next disc and sees her singing, “shine bright like a diamond” over an ultra catchy hook. “You’re a shooting star I see, a vision of ecstasy/When you hold me I’m alive, we’re like diamonds in the sky,” she continues as her voice also sparkles like a precious stone. Part ballad, part anthem, we’ve got a feeling you’ll be hearing a lot of this song in the future.
.
Details about Rihanna’s upcoming seventh studio album are still scarce but a press release promised “details to be announced in the weeks and months ahead.” The release adds that Rihanna worked with the Norwegian songwriting team Stargate on the track who previously collaborated with RiRi on hits like “Don’t Stop The Music” and “Only Girl (In The World)”.
.
Oh and if you like the sound of “Diamonds” you’ll undoubtedly be able to hear it live when Rihanna embarks on Live Nations Rihanna Diamonds World Tour 2013 which kicks off at the Niagara Center in Buffalo on March 8th, 2013 and is currently scheduled to wrap up in Brooklyn, New York, on May 4th.
.
As far as the track itself goes, it’s the perfect song to set the tone for Rihanna’s next disc and sees her singing, “shine bright like a diamond” over an ultra catchy hook. “You’re a shooting star I see, a vision of ecstasy/When you hold me I’m alive, we’re like diamonds in the sky,” she continues as her voice also sparkles like a precious stone. Part ballad, part anthem, we’ve got a feeling you’ll be hearing a lot of this song in the future.
.
Details about Rihanna’s upcoming seventh studio album are still scarce but a press release promised “details to be announced in the weeks and months ahead.” The release adds that Rihanna worked with the Norwegian songwriting team Stargate on the track who previously collaborated with RiRi on hits like “Don’t Stop The Music” and “Only Girl (In The World)”.
.
Oh and if you like the sound of “Diamonds” you’ll undoubtedly be able to hear it live when Rihanna embarks on Live Nations Rihanna Diamonds World Tour 2013 which kicks off at the Niagara Center in Buffalo on March 8th, 2013 and is currently scheduled to wrap up in Brooklyn, New York, on May 4th.
.
Source: MYSPACE Breaking News
.
50 Cent Investigation
Posted on 05:29 by Unknown
50 Cent Investigates Chris Lighty’s Death, Wiz Khalifa Flees Scene Of An Accident, Cassie Shines On New GQ Cover
Chris Brown violates his probation with a failed drug test, the LAPD feels Wiz Khalifa fled the scene of an accident, Lil’ Wayne is back and court (and the answers to his interrogation questions might make history for being the funniest thing we’ve ever seen) and more in today’s UrbLinks.
During a random drug test that is part of Chris Brown’s probation, marijuana was found in his system. As a result, he will have to be back in court in November.
.
Did Wiz Khalifa flee the scene of a hit-and-run accident recently? LAPD are investigating. [RapFix]
.
If you are looking or a good laugh today, you have to watch footage of Lil’ Wayne in court. To give him the benefit of the doubt, the lawyer was asking ridiculous questions, but there is no way anyway could have predicted Weezy’s hilarious answers.
.
MMG is getting ready to go on tour. Rick Ross, Meek Mill, Wale and the rest of the Maybach Music Group camp is heading to a city near you.
.
Can’t wait until Miguel’s new album Kaleidoscope Dream drops on October 1st? Listen in full.
.
Today’s UnderUrb Spotlight shines on TJ Da LuvaBoy. He recently dropped the video to his single “Amnesia” that was directed by Chris Brown.
During a random drug test that is part of Chris Brown’s probation, marijuana was found in his system. As a result, he will have to be back in court in November.
.
Did Wiz Khalifa flee the scene of a hit-and-run accident recently? LAPD are investigating. [RapFix]
.
If you are looking or a good laugh today, you have to watch footage of Lil’ Wayne in court. To give him the benefit of the doubt, the lawyer was asking ridiculous questions, but there is no way anyway could have predicted Weezy’s hilarious answers.
.
MMG is getting ready to go on tour. Rick Ross, Meek Mill, Wale and the rest of the Maybach Music Group camp is heading to a city near you.
.
Can’t wait until Miguel’s new album Kaleidoscope Dream drops on October 1st? Listen in full.
.
Today’s UnderUrb Spotlight shines on TJ Da LuvaBoy. He recently dropped the video to his single “Amnesia” that was directed by Chris Brown.
After reports surfaced that Chris Lighty’s wife would inherit his entire estate, 50 Cent wants a full on investigation into the mogul’s death.
.
Cassie gets all oiled up for her latest GQ magazine feature.
.
Speaking of Cassie, after being Diddy’s side chick for many years he is finally publicly claiming her as his main chick.
.
That’s your Hip Hop and R&B links for today. Don’t forget to check back daily so you are in the know on all things urban music from Eb the Celeb
.
Cassie gets all oiled up for her latest GQ magazine feature.
.
Speaking of Cassie, after being Diddy’s side chick for many years he is finally publicly claiming her as his main chick.
.
That’s your Hip Hop and R&B links for today. Don’t forget to check back daily so you are in the know on all things urban music from Eb the Celeb
Subscribe to:
Posts (Atom)