RonaldoLionelMessi

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Thursday, 25 July 2013

Messi: "Sihusiki na Kuajiriwa kwa Martino."

Posted on 23:14 by Unknown

Leo Messi hataki kuhusishwa na kuajiriwa kwa kocha mpya Gerardo Martino. "Sihusiki na chochote, na wala sina chochote cha kuelezea. Hayo ni maamuzi ya rais na timu. Kuna wakati nilisema tu kwamba alikuwa ni kocha mzuri lakini sikuwa na chochote cha kuelezea."  
"Kibinafsi simfahamu, sijawahi kukutana na yeye wala Luis Enrique ambaye alikuwa katika list ya kuajiriwa. Nadhani ni uteuzi mzuri kwa sababu ataleta kitu cha ziada, na ameonesha uwezo wake kwa Newell na kwa timu ya taifa ya Paraguay. Natumaini atatufaa," aliongeza Messi.  
Messi alisema hakukutana na Guardiola kule Munich na kukomenti kwa timu yake: "Tunaanza upya tena baada ya kilichotokea kwa Tito, tunapaswa kujiandaa kwa mwaka mwingine mgumu."  
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • Thomas Ulimwengu, Mbwana Samata na Wenzao Waliowasambaratisha Morocco
    Unaweza kuielezeaje mechi hii ya Stars v Morocco?
  • Is Tatyana Ali Dating Drake?
    Tatyana Ali Addresses Drake Dating Rumors A recent interview on the  HuffingtonPost  made star of the new BET series “ Second Generation Way...
  • These are the 5 Problems That Manchester United Should Fix in Defence
    As Written by HITC SPORT   The System Ultimately the formation that Sir Alex Ferguson chose to play in the match against Cluj worked becaus...
  • Will Manchester United Finish up Chelsea Once Again Tomorrow Night?
    Javier Hernandez is Manchester United's lethal weapon. Just ask Chelsea, who have conceded five at the hands of the Mexican in eight g...
  • Fabregas ready to join United. Via SPEN.co.uk
    Cesc Fabregas has informed friends in the English game that he is ready to leave Barcelona for Manchester United. Barcelona have already reb...
  • What About Wayne Rooney's Saga? Where Has it Reached? Do You Know That He Has Started to Annoy His Fellows? Go Here for Updates!
    Wayne Rooney Has Burned His Last Bridge Via b/r   Wayne Rooney has reportedly backed himself into a corner at Manchester United, where his t...
  • TFF Extends Transfer Window Date. Via allAfrica.com
    MAINLAND Premier League clubs will have until Monday to strengthen their squads after the Tanzania Football Federation (TFF) extended player...
  • Rihanna Alimanusura Uso kwa Uso na Mpenzi wa Mpya wa Chris Brown. Via DailyMirror.
                    Six minutes, people. Let's all breathe a sigh of relief We must be getting old, because when we read that Rihanna turned...
  • Mandela's fading presence worries South Africa. Via Chron
    JOHANNESBURG — As South Africa's governing party moves closer to picking its next leader, it will do so without the man widely viewed ...
  • Rihanna - Stay ft. Mikky Ekko

Blog Archive

  • ▼  2013 (172)
    • ►  August (33)
    • ▼  July (29)
      • Jose Mourinho relaxed over Chelsea interest in Way...
      • Gareth Bale May Be Set to Extend His Tottenham Con...
      • Liga: Martino: I Will Reject Any Offer for Fabregas
      • How Tottenham Hotspur can spend £50m and keep Gare...
      • Moyes hints there may be no Old Trafford signings ...
      • Ukitumiwa Barua na Huyu Dada Usije Ukabug man!
      • Rihanna Is SO Over Chris Brown! NO Regrets!
      • CHAN: Uganda v Tanzania preview
      • Fabregas ready to join United. Via SPEN.co.uk
      • Mjue Hussein Javu Striker Aliyetia Dolegumba Yanga...
      • Unajua Alichosema Ronadinho? Soma Hapa!
      • Messi: "Sihusiki na Kuajiriwa kwa Martino."
      • Cesc Fabregas Bado Kipenzi Cha David Moyes
      • Dear Reader, Huyu Ndiye Kocha Mpya wa Barcelona!
      • Soma Hii Habari, Itakueleza Nini Kinaendelea Kumuh...
      • Kuna Habari Nyingi Zinazomuhusu Wayne Rooney; Soma...
      • Hivi Nikisema Manchester United Hawamuhitaji Thiag...
      • Manchester United Waporwa Thiago na Bayern Munich ...
      • Guardiola Sasa Amtaka Thiago Alcantara!
      • Ndugu, Soma Hiki Kioja cha Soka Huko Nigeria!
      • Wayne Rooney Aanza Mzoezi Man United!
      • Follow Twitter Mpya ya Manchester United, Username...
      • Hawa Ndiyo Wachezaji wa Man United Waliopewa Kazi ...
      • Make more love, live longer - IOL Lifestyle | IOL....
      • When sex is cheap - IOL Lifestyle | IOL.co.za
      • Ifuatayo ni Biography ya 50 Cent
      • Unaweza Shuhudia Yanayotokea Misri kwa Njia ya Pic...
      • Haya Ndiyo Aliyoyasema Ronaldo Kuhusu Fununu za Ye...
      • News | K-Ci & JoJo Talk Classic Sound, Drake Payin...
    • ►  June (40)
    • ►  May (10)
    • ►  April (9)
    • ►  March (28)
    • ►  February (6)
    • ►  January (17)
  • ►  2012 (128)
    • ►  December (47)
    • ►  November (18)
    • ►  October (48)
    • ►  September (15)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile