RonaldoLionelMessi

  • Subscribe to our RSS feed.
  • Twitter
  • StumbleUpon
  • Reddit
  • Facebook
  • Digg

Wednesday, 7 November 2012

Celtic Yawafanyia Kweli Barcelona

Posted on 23:01 by Unknown

 

Timu ya Celtic jana  usiku ilionesha kwamba Barcelona si chohcote kwao baada ya kuwatungua mara mbili kwa magoli yaliyowekwa kimiani na Wanyama 'mwafrika toka Kenya' katika dakika ya 21 na Watt dakika ya 83 kabla Messi hajasaidia kuwafuta wenzake machozi kwa goli lake la dakika ya 90.

Lennon (kulia) akifurahia ushindi wa timu  yake ya Celtic ukiwa ni mara yake ya kwanza kuwafunga Barcelona na wa kwanza kwenye mashindano kwenye hatua ya makundi kama meneja.  

Hadi mwisho wa dakika 90 Barcelona walikuwa wamemiliki mpira kwa asilimia 66 huku Celtic wakichukua asilimia 34.

Celtic walipiga mashuti matatu nayo yalilenga goli, walipata kona mbili, na walicheza faulo tisa; huku Barcelona wakipiga mashuti 25 na 14 yakilenga goli, kona 7 na faulo 9. 

na timu zilikuwa kama ifuatavyo:-

Picture source: SNS

Celtic

  • 01 Forster
  • 02 Matthews
  • 04 Ambrose
  • 06 Wilson
  • 21 Mulgrew
  • 23 Lustig (Watt - 72' )
  • 15 Commons
  • 16 Ledley
  • 67 Wanyama
  • 07 Miku Booked
  • 09 Samaras (Kayal - 79' )

Substitutes

  • 24 Zaluska
  • 44 Fraser
  • 20 McCourt
  • 31 Herron
  • 33 Kayal
  • 46 McGeouch
  • 32 Watt

Barcelona

  • 01 Valdes
  • 02 Alves
  • 15 Bartra (Pique - 71' )
  • 18 Alba Booked
  • 06 Xavi
  • 08 Iniesta
  • 10 Messi
  • 14 Mascherano
  • 25 Song Booked (Fabregas - 71' )
  • 09 Sanchez (Villa - 67' )
  • 17 Pedro

Substitutes

  • 13 Pinto
  • 03 Pique
  • 19 Montoya
  • 04 Fabregas
  • 12 Jonathan
  • 07 Villa
  • 37 Cristian Tello
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Posted in | No comments
Newer Post Older Post Home

0 comments:

Post a Comment

Subscribe to: Post Comments (Atom)

Popular Posts

  • If You Missed Some Games of The AFCON From S.Africa. Here Are Actions in Pictures For You.
  • Thomas Ulimwengu, Mbwana Samata na Wenzao Waliowasambaratisha Morocco
    Unaweza kuielezeaje mechi hii ya Stars v Morocco?
  • Liverpool Waliompa Kipigo Norwich Hawa Hapa
      Huku Suarez akipiga hat-trick
  • Who has the best squad for title race - United, City, or Chelsea?
    Who has the best squad for title race - United, City, or Chelsea?
  • Ndugu, Soma Hiki Kioja cha Soka Huko Nigeria!
    T imu nne za mpira wa miguu zimesimamishwa kucheza soka nchini Nigeria baada ya mechi zao kuleta matokeo ya utatanishi kwa mechi hizo kumali...
  • Aston Villa vs Newcastle United: Same boat, different engine. Via HITC SPORT
    Alan Pardew's side head to Villa Park just one point ahead of the home team in the league, but differing transfer windows will likely ...
  • Manchester United Transfer Rumours: Cristiano Ronaldo Deal Reportedly Close | Bleacher Report
    Manchester United Transfer Rumours: Cristiano Ronaldo Deal Reportedly Close | Bleacher Report
  • Hatimaye Lulu Aliona Jua.
    Yule msanii maarufu sana hapa nchini kwenye tasnia ya filamu za bongo maarufu kama "Bongo Movie" Elizabeth maarufu kama "Lulu...
  • Pictures: Mario Balotelli's car gets pissed on and greased with bum sweat by Man United fans | 101GG Football news
    Pictures: Mario Balotelli's car gets pissed on and greased with bum sweat by Man United fans | 101GG Football news
  • Celtic Yawafanyia Kweli Barcelona
      Timu ya Celtic jana  usiku ilionesha kwamba Barcelona si chohcote kwao baada ya kuwatungua mara mbili kwa magoli yaliyowekwa kimiani na Wa...

Blog Archive

  • ►  2013 (172)
    • ►  August (33)
    • ►  July (29)
    • ►  June (40)
    • ►  May (10)
    • ►  April (9)
    • ►  March (28)
    • ►  February (6)
    • ►  January (17)
  • ▼  2012 (128)
    • ►  December (47)
    • ▼  November (18)
      • Rooney: Let's kick on now. Via Bleacher Report
      • Sir Alex Ferguson wants Euro hat-trick before he r...
      • KIKOSI CHA STARS HIKI HAPA
      • Man United Nayo Yawaua Braga 3-1, Champions League
      • Celtic Yawafanyia Kweli Barcelona
      • Didier Drogba Stays in China..!
      • Champions League: Man City 2-2 Ajax & Arsenal 2-2 ...
      • US Election. As it Happened. (News in Pictures)
      • Profile: Barack Obama. Via ALJAZEERA
      • Obama Owns the WHITE HOUSE For The Second Term
      • Man United 2, Arsenal 1, As it Happened Yesterday ...
      • Did You Know That Justin Timberlake and Jessica Bi...
      • U.S. election — It’s all over but for the rage. Vi...
      • Wilfred Zaha, Wanted by Man United
      • "Respect Robin Van Persie." Says Arsene Wenger
      • It's Manchester v Arsenal Again. Read the Five Key...
      • The Happy Di Matteo..!
      • Have You Heard? It Is Luis Nani Who Is Blamed For ...
    • ►  October (48)
    • ►  September (15)
Powered by Blogger.

About Me

Unknown
View my complete profile